27 Aug

MKUU wa mkoa wa Iringa Peter Serukamba amewakumbusha wakazi wa mkoa wake kufanyakweli katika ufanyaji wa usafi wa Mazingira. Serukamba ametoa wito huo jana wakati wamahojiano malumu. ‘’Hakika sisi watu wa Iringa, hatubaki nyuma, tunaendelea mbele na tutafanya kweli. Piakufanya usafi ni sehemu ya maisha yetu’’ amesema. Serukamba…

18 Aug

Na Mtu Ni Afya,Njombe Wakazi wa Kata ya Kidengembe waazimia kufanya kweli kwa kuzungumza masuala yahedhi salama na kuvunja ukimya katika ngazi ya kaya kwa kuwashirikisha wanaume namabinti zao. Azimio hilo limewekwa na wakazi wa Kata ya Kidengembe pamoja na Mganga Mkuu waHalmashauri ya Njombe Frank Mganga wakati…