Hedhi salama ni suala muhimu sana kwa ustawi wa afya ya wasichana na wanawake. Hata hivyo, katikajamii nyingi za Tanzania, changamoto zinazohusiana na hedhi salama bado zipo. Ni jukumu la kila mzazikumuelimisha mtoto wake kuhusu masuala ya hedhi salama. Kwa upande mwingine, jamii kubwa ya wakina baba imekuwa…