16 Dec

CHUO Kikuu Cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kampasi ya Muhimbili ipokatika mpango wa kujenga kituo Jumuishi cha Michezo kwa lengo la kuhimiza ufanyaji mazoezikatika jamii. Rai hiyo imetolewa na Makamu Mkuu wa Chuo hicho Profesa ApolinaryKamuhabwa wakati wa kuhitimisha mbio za Reunion Fun Run msimu wa…

16 Dec

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imetoa pongezi kwa Chuo Kikuu Cha Afya na SayansiShirikishi Muhimbili(MUHAS) kwa mpango wa kujenga kituo Jumuishi cha michezo katikakampasi ya Muhimbili, jijini Dar-es-salaam. Pongezi hizo zilitolewa na Mkurugenzi wa Huduma za Kinga kutoka Wizara ya Afya, Dkt NtuliKapologwe wakati wa kufunga mbio za…