WAKAZI wa mkoa wa Simiyu wametakiwa kuachana na mila potofu katika mapambano ya ugonjwa kipindupindu ambapo kwa sasa ugonjwa huo wa mlipuko umekuwa ukisumbua katika baadhi ya maeneo ya mkoani hapo. Rai hiyo imetolewa jana na Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Kenan Kihongosi wakati wa maombi malumu na…
CHUO Kikuu Cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kampasi ya Muhimbili ipokatika mpango wa kujenga kituo Jumuishi cha Michezo kwa lengo la kuhimiza ufanyaji mazoezikatika jamii. Rai hiyo imetolewa na Makamu Mkuu wa Chuo hicho Profesa ApolinaryKamuhabwa wakati wa kuhitimisha mbio za Reunion Fun Run msimu wa…
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imetoa pongezi kwa Chuo Kikuu Cha Afya na SayansiShirikishi Muhimbili(MUHAS) kwa mpango wa kujenga kituo Jumuishi cha michezo katikakampasi ya Muhimbili, jijini Dar-es-salaam. Pongezi hizo zilitolewa na Mkurugenzi wa Huduma za Kinga kutoka Wizara ya Afya, Dkt NtuliKapologwe wakati wa kufunga mbio za…