MKUU wa Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani, Khadija Nassir amewataka wazazi wotewilayani Mkuranga kufanya kweli kwa kuwa na utaratibu wa kuzungumza watoto wao kuhusuelimu ya Hedhi salama. Nassir ametoa rai hiyo jana wakati wa mkutano katika stendi ya Kimanzichana. ‘’Ni jukumu letu, Wazazi tuongelee Hedhi salama bila uwoga.…
MKUU wa mkoa wa Iringa Peter Serukamba amewakumbusha wakazi wa mkoa wake kufanyakweli katika ufanyaji wa usafi wa Mazingira. Serukamba ametoa wito huo jana wakati wamahojiano malumu. ‘’Hakika sisi watu wa Iringa, hatubaki nyuma, tunaendelea mbele na tutafanya kweli. Piakufanya usafi ni sehemu ya maisha yetu’’ amesema. Serukamba…
Na Mtu Ni Afya,Njombe Wakazi wa Kata ya Kidengembe waazimia kufanya kweli kwa kuzungumza masuala yahedhi salama na kuvunja ukimya katika ngazi ya kaya kwa kuwashirikisha wanaume namabinti zao. Azimio hilo limewekwa na wakazi wa Kata ya Kidengembe pamoja na Mganga Mkuu waHalmashauri ya Njombe Frank Mganga wakati…
KATIKA kuhakikisha Jamii inafanya kweli katika matumizi ya Nishati safi ya kupikia, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema mpango wa Serikali ni kuona Jamii inafanya kweli kwa kuhama kutoka kwenye Nishati isiyokuwa safi ya kupikia na kuhamia kwenye Nishati safi ya kupikia. Dkt.…
Na Mtu Ni Afya MRATIBU wa mashindano ya mpira wa miguu ya Ndondo Cup, Shafii Dauda amewataka wachezaji kutumia mashindano hayo ili kuonyesha vipaji vyao. Dauda alisema hayo wakati wa uzinduzi wa mashindano ya Ndondo Cup 2024 katika uwanja wa Kinesi wilaya ya Ubungo jijini Dar-es-salaam. Dauda alisema…
JAMII imeshauriwa kuweka utaratibu malumu wa kutunza mazingira katika maeneo yao ya nyumbani na kazini. Witu huo umetolewa na Mkuu wa kitengo cha Afya kutoka Jukwaa la Vijana kusini wa Afrika(SADC) Vivian Joseph wakati Kongamano la wadau wa sekta ya Afya kuhusu maandalizi ya Dira ya Taifa ya…
WAFANYABIASHARA wa soko la Bwilingu katika Halmashauri ya wilaya ya Chalinze mkoani Pwani wametakiwa kuzingatia utunzaji na usafi wa Mazingira katika soko hilo. Wito huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Kinga kutoka Wizara ya Afya, Dk Ntuli Kapologwe wakati wa uzinduzi wa soko la Bwilingu. Dk Kapologwe amesema…
Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi kutoka kwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu baada ya kuzindua kampeni ya Usichukulie Poa Nyumba ni Choo mkoani Dodoma.
On the 9th December 1961, the father of the nation, Mwalimu Julius Nyerere raised the national flag as a symbol of proclaiming Tanganyika's independence from colonialism. The national flag has since been a symbol of independence and a symbol that the country is proud of. Whenever the flag…
Project CLEAR has provided implementation support to 11 out of 26 regions. The Government of Tanzania, through the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children is implementing phase two of the National Sanitation Campaign (NSC II)- ‘Usichukulie Poa, Nyumba ni Choo’. The campaign was launched on…

