KATIKA kuhakikisha Jamii inafanya kweli katika matumizi ya Nishati safi ya kupikia, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema mpango wa Serikali ni kuona Jamii inafanya kweli kwa kuhama kutoka kwenye Nishati isiyokuwa safi ya kupikia na kuhamia kwenye Nishati safi ya kupikia. Dkt.…
Na Mtu Ni Afya MRATIBU wa mashindano ya mpira wa miguu ya Ndondo Cup, Shafii Dauda amewataka wachezaji kutumia mashindano hayo ili kuonyesha vipaji vyao. Dauda alisema hayo wakati wa uzinduzi wa mashindano ya Ndondo Cup 2024 katika uwanja wa Kinesi wilaya ya Ubungo jijini Dar-es-salaam. Dauda alisema…
JAMII imeshauriwa kuweka utaratibu malumu wa kutunza mazingira katika maeneo yao ya nyumbani na kazini. Witu huo umetolewa na Mkuu wa kitengo cha Afya kutoka Jukwaa la Vijana kusini wa Afrika(SADC) Vivian Joseph wakati Kongamano la wadau wa sekta ya Afya kuhusu maandalizi ya Dira ya Taifa ya…
WAFANYABIASHARA wa soko la Bwilingu katika Halmashauri ya wilaya ya Chalinze mkoani Pwani wametakiwa kuzingatia utunzaji na usafi wa Mazingira katika soko hilo. Wito huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Kinga kutoka Wizara ya Afya, Dk Ntuli Kapologwe wakati wa uzinduzi wa soko la Bwilingu. Dk Kapologwe amesema…
Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi kutoka kwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu baada ya kuzindua kampeni ya Usichukulie Poa Nyumba ni Choo mkoani Dodoma.
On the 9th December 1961, the father of the nation, Mwalimu Julius Nyerere raised the national flag as a symbol of proclaiming Tanganyika's independence from colonialism. The national flag has since been a symbol of independence and a symbol that the country is proud of. Whenever the flag…
Project CLEAR has provided implementation support to 11 out of 26 regions. The Government of Tanzania, through the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children is implementing phase two of the National Sanitation Campaign (NSC II)- ‘Usichukulie Poa, Nyumba ni Choo’. The campaign was launched on…
Tanzania, blessed with so much beauty and plentiful natural resources strives to become a middle-income country by 2025. The country is putting so much efforts to promote industrialization and ensuring the health and wellbeing of all citizens. One of the notable achievements in the promotion of health and…
Nyumba ni choo campaign takes ‘modernity message’ to football fans Sports have proved to be one of the major tools of bringing people together in support of various courses in society. Nyumba ni choo campaign has used sports and football platform in particular to reach a wide range…
The DCC events were planned to reach 207 villages, the activations succeeded to reach 946 villages. The Government of Tanzania through the National Sanitation Campaign (NSC) is committed to increasing households’ access to improved sanitation by 75% by June 2021. To hit that target the Government is conducting…