15 Jul

Na Mtu Ni Afya MRATIBU wa mashindano ya mpira wa miguu ya Ndondo Cup, Shafii Dauda amewataka wachezaji kutumia mashindano hayo ili kuonyesha vipaji vyao. Dauda alisema hayo wakati wa uzinduzi wa mashindano ya Ndondo Cup 2024 katika uwanja wa Kinesi wilaya ya Ubungo jijini Dar-es-salaam. Dauda alisema…

10 Jul

JAMII imeshauriwa kuweka utaratibu malumu wa kutunza mazingira katika maeneo yao ya nyumbani na kazini. Witu huo umetolewa na Mkuu wa kitengo cha Afya kutoka Jukwaa la Vijana kusini wa Afrika(SADC) Vivian Joseph wakati Kongamano la wadau wa sekta ya Afya kuhusu maandalizi ya Dira ya Taifa ya…

08 Jul

WAFANYABIASHARA wa soko la Bwilingu katika Halmashauri ya  wilaya ya Chalinze mkoani Pwani wametakiwa kuzingatia utunzaji na usafi wa Mazingira katika soko hilo. Wito huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Kinga kutoka Wizara ya Afya, Dk Ntuli Kapologwe wakati wa uzinduzi wa soko la Bwilingu. Dk Kapologwe amesema…